Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Nyuma ya Sanduku la Yawe kukaa katika inchi ya Wafilistini kwa muda wa miezi saba,

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 6:1
6 Referans Kwoze  

Aliacha kitambulisho cha nguvu yake kinyanganywe, utukufu wake utiwe katika mikono ya waadui.


Kesho yake asubui, watu wa muji wa Asidodi walipoamuka waliona sanamu ya Dagoni imeanguka ikilalia uso chini mbele ya Sanduku la Mungu. Wakaisimamisha tena sanamu ya Dagoni na kuiweka tena pahali pake.


Nyuma ya Wafilistini kuliteka Sanduku la Mungu, walilibeba kutoka muji wa Ebeni-Ezeri mpaka katika muji wao wa Asidodi.


Nao wale ambao hawakukufa walipatwa na majipu hata kilio cha muji kilifika mbinguni.


Wafilistini waliwaita makuhani na waaguzi wao na kuwauliza: “Tufanye nini na Sanduku hili la Yawe? Mutuambie namna gani tunavyoweza kulirudisha kwa nafasi yake.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite