Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 5:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Nao wale ambao hawakukufa walipatwa na majipu hata kilio cha muji kilifika mbinguni.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 5:12
9 Referans Kwoze  

Basi mufalme, watumishi wake na wakaaji wote wa Misri wakaamuka usiku. Kukakuwa kilio kikubwa katika inchi yote ya Misri kwa maana hakukuwa hata nyumba moja ambamo mutu hakukufa.


Mambo yatakuwa kama mutu aliyekimbia simba, halafu anakutana na dubu! Au kama mutu anayerudi kwa nyumba yake, na kutia mukono wake kwenye ukuta, na kuumwa na nyoka.


Sikiliza! Kilio kutoka Horonaimu: Maangamizi na uharibifu mukubwa!


Muomboleze, enyi wachungaji; mulie na kugaagaa katika majivu, enyi wakubwa wa kundi. Siku za kuchinjwa kwenu na kusambazwa zinakaribia. Mutauawa kama kondoo dume wanene.


Watu wa Yuda wanaomboleza, miji yake inateketea. Watu wake wanaomboleza wakiikaa katika udongo na kilio cha Yerusalema kinapanda mpaka juu.


Basi, mutu yeyote atakayepona kuuawa kwa upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua, na yeyote atakayepona kuuawa kwa upanga wa Yehu, Elisha atamwua.


“Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mutu kutoka inchi ya kabila la Benjamina, nawe utamupakaa mafuta kuwa mutawala wa watu wangu Waisraeli. Yeye atawaokoa watu wangu kutoka kwa Wafilistini, maana nimeyaona mateso ya watu wangu na kilio chao kimenifikia.”


Nyuma ya Sanduku la Yawe kukaa katika inchi ya Wafilistini kwa muda wa miezi saba,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite