Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wafilistini waliposikia sauti hiyo ya furaha walisema: “Kelele hiyo yote katika kambi ya Waebrania ina maana gani?” Walipojua kwamba Sanduku la Agano la Yawe lilikuwa limefika katika kambi ya Waisraeli,

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 4:6
4 Referans Kwoze  

Sanduku la Agano la Yawe lilipofika katika kambi Waisraeli wote walishangilia kwa furaha, hata inchi yote ikatikisika.


Wafilistini waliogopa. Wakasema: “Bila shaka, miungu imefika katika kambi yao! Ole wetu! Jambo kama hili halijatokea tangia zamani.


Wakubwa wa waaskari wa Wafilistini waliuliza: “Waebrania hawa wanafanya nini hapa?” Akisi akawajibu wale wakubwa wa Wafilistini: “Huyu ni Daudi, mutumishi wa Saulo mufalme wa Israeli; naye amekuwa nami kwa miaka fulani. Na tangu alipokimbilia kwangu, sijamupata na kosa lolote.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite