Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 4:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Basi, kwa sababu alikuwa karibu ya kufa, wanawake waliokuwa wanamuzalisha walimwambia: “Usiogope, maana umezaa mutoto mwanaume.” Lakini yeye hakujibu neno, wala hakuwasikiliza.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 4:20
5 Referans Kwoze  

Wakati mwanamuke anapozaa, anasikia uchungu kwa sababu wakati wake wa kuzaa umetimia. Lakini anapokwisha kuzaa, hakumbuki tena maumivu, kwa sababu ya furaha ya kuzaliwa kwa mutoto.


Ninamulilia Mungu kwa sauti. Kwa sauti ninamulilia Mungu, anisikie.


Yakobo na jamaa yake yote wakaendelea na safari yao kutoka Beteli. Walipokuwa umbali fulani mbele ya kufika Efurata, Rakeli akashikwa na uchungu mukali wa kuzaa.


Tena ilitokea kwamba, mukwe wa Eli, ni kusema muke wa Finehasi, kwa wakati ule alikuwa na mimba, na muda wake wa kuzaa ulikuwa umekaribia. Aliposikia kwamba Sanduku la Agano la Mungu limetekwa na kwamba baba mukwe wake, hata na mume wake wamekufa, mara moja akapata maumivu ya kuzaa. Kwa hiyo akachutama na kuzaa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite