Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 4:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Eli, akiwa na wasiwasi ndani ya moyo juu ya Sanduku la Mungu, alikuwa ameikaa kwenye kiti chake, pembeni ya barabara akiangalia. Yule mutu alipofika katika muji na kueleza habari hizo, muji muzima ulilia kwa sauti.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 4:13
9 Referans Kwoze  

Siku moja, walipokuwa wamemaliza kula na kunywa katika nyumba ya Yawe kule Shilo, Hana akasimama. Wakati ule, kuhani Eli alikuwa ameikaa kwenye kiti karibu na mulango wa nyumba ya Yawe.


Huyo mutu alipotaja tu Sanduku la Mungu, Eli alianguka machali kutoka kwenye kiti chake pembeni ya mulango. Eli alipoanguka hivyo, shingo yake ilivunjika maana alikuwa muzee na munene, naye akakufa. Eli alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka makumi ine.


Ee Yawe, ninapenda makao yako, pahali utukufu wako unapokaa.


Basi, Wakanana pamoja na wakaaji wote wa inchi hii watakapopata habari hiyo watatuzunguka na kutufuta kabisa katika dunia. Sasa utafanya nini kwa kuonyesha ukubwa wa jina lako?”


Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza: “Kelele hizo ni za nini?” Yule mutu akaenda haraka kwa Eli kwa kumupa habari hizo.


Enyi wakaaji wa Aroeri, musimame kandokando ya njia mupeleleze! Mumwulize yule anayekimbia na anayetoroka: Kumetokea nini?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite