Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 31:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Vita ilikuwa kali sana upande wa Saulo. Wapiga mishale walipomwona wakamwumiza vibaya.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 31:3
6 Referans Kwoze  

Yule kijana akamujibu: “Kwa bahati, nilikuwa juu ya mulima Gilboa. Nilimwona Saulo akiegemea mukuki wake na magari ya waaskari wapanda-farasi ya waadui zake yalikuwa yanamusonga sana.


Hata wale wenye kuwa hodari kwa kukimbia mbio hawataweza kutoroka; wenye nguvu wataishiwa nguvu zao, na waaskari watashindwa kuyaokoa maisha yao.


Lakini, askari mumoja wa Aramu akauvuta upinde wake kwa kubahatisha, akamupiga mushale mufalme wa Israeli katika maunganio ya nguo zake za chuma za kukinga kifua. Hapo Ahabu akamwambia kiongozi wa gari lake la vita: “Geuza gari uniondoe katika vita. Nimeumizwa!”


Daudi akamwambia: “Uniambie jinsi mambo yalivyokuwa kule.” Yule mutu akamujibu: “Watu wetu wameyakimbia mapigano na wengi kati yetu wameuawa. Zaidi ya hayo, Saulo na mwana wake Yonatani vile vile wameuawa.”


Wapiga mishale walimushambulia vikali, wakamutupia mishale na kumusumbua sana.


Alikwenda na kuitwaa mifupa ya Saulo na ya mwana wake Yonatani kutoka kwa wakaaji wa Yabeshi-Gileadi, waliokuwa wameiiba kutoka kule Beti-Sani, ambako Wafilistini walikuwa wamemutundika Saulo na Yonatani siku ile walipomwua Saulo kwenye mulima Gilboa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite