Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 30:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Walikuwa wameteka wanawake na watu wote waliokuwa katika muji, wakubwa kama vile wadogo. Hao waliowateka, waliondoka nao wakiwa wazima, bila kumwua mutu yeyote.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 30:2
6 Referans Kwoze  

Daudi hakumwacha mutu yeyote muzima akuwe mwanaume au mwanamuke kusudi aletwe Gati; alifikiri ndani ya moyo: “Wanaweza kueleza juu yetu na kusema: ‘Daudi alifanya kitendo hiki na kile.’ ” Hivyo ndivyo Daudi alivyozoea kutenda wakati wote alipoishi katika inchi ya Wafilistini.


wakati ulipoinuka kutimiza hukumu, kuwaokoa wote wanaoteswa katika dunia.


na kuiambia: “Mwisho wako ni hapa, si zaidi! Mawimbi yako ya nguvu yatakomea hapa!”


Chochote kilichokuwa chao, kikuwe kikubwa au kidogo, mutoto mwanaume au mwanamuke, Daudi alikikomboa.


Daudi na watu wake walipofika katika muji waliukuta muji umeteketezwa, na wanawake, watoto wao wanaume na wanawake wamekamatwa mateka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite