Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 30:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Daudi aliokoa kila kitu Waamaleki walichokuwa wameteka, hata na wake zake wawili.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 30:18
4 Referans Kwoze  

Basi, Abramu akakomboa mali yote iliyonyanganywa na waadui, na kumukomboa mwipwa wake Loti, mali yake, pamoja na wanawake na watu wengine.


Daudi akamwomba Yawe shauri: “Nikifuata kundi hili nitalikamata?” Yawe akamujibu: “Ulifuate maana utalipata na kuwaokoa hao waliotekwa.”


waliwakusanya watu wao wote, wakaenda kupigana na Isimaeli. Walimukuta kwenye kisima kikubwa cha Gibeoni.


wakamwambia: Sisi watumishi wako tumewahesabu waaskari wote wanaokuwa chini yetu na tumeona kwamba hakuna hata mumoja wao anayekosekana.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite