Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 28:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Basi, Saulo akajigeuza na kuvaa nguo zingine, akaenda kule pamoja na watu wake wawili. Walifika kwa yule mwanamuke usiku. Saulo akamwambia: “Unifanyie uaguzi na kunipandishia mutu yeyote nitakayekutajia.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 28:8
12 Referans Kwoze  

Watu wamoja watawaambia ninyi: Muombe shauri kwa mizimu na waaguzi wanaolia kama ndege; kwa sababu ni kawaida watu kuomba shauri kwa miungu yao, na kuomba shauri kwa wafu kwa ajili ya wanaokuwa wazima.


Saulo alikufa kwa sababu ya kutokuwa mwaminifu; hakukuwa mwaminifu maana hakutii neno la Yawe na alikwenda kwa mwaguzi kumwomba shauri,


Lakini Yosia hakukubali kumwachilia. Akakataa kusikiliza maneno Mungu aliyosema kwa njia ya Neko, kwa hiyo akajibadilisha kusudi asitambulikane, kisha akaingia katika vita katika bonde la Megido.


Mufalme wa Israeli akamwambia Yosafati: “Mimi nitavaa nguo zisizokuwa za kifalme kwa kuingia katika vita, lakini wewe utavaa nguo yako ya kifalme.” Hivyo mufalme wa Israeli akaenda kwa vita bila kuvaa nguo za kifalme.


Mufalme wa Israeli akamwambia Yosafati: “Mimi nitavaa nguo zisizokuwa za kifalme na kuingia katika vita lakini wewe utavaa nguo zako za kifalme.” Hivyo mufalme wa Israeli akaenda kwenye vita bila kuvaa nguo za kifalme.


Hukumu inatokana na hivi: mwangaza umekuja katika ulimwengu, lakini watu wanapenda giza kuliko mwangaza, kwa sababu matendo yao ni mabaya.


Mutu anaweza kujificha pahali pa siri hata nisiweze kumwona? –Ni ujumbe wa Yawe!– Hamujui kwamba niko kila pahali, katika mbingu na katika dunia? –Ni ujumbe wa Yawe!–


Lakini, askari mumoja wa Aramu akauvuta upinde wake kwa kubahatisha, akamupiga mushale mufalme wa Israeli katika maunganio ya nguo zake za chuma za kukinga kifua. Hapo Ahabu akamwambia kiongozi wa gari lake la vita: “Geuza gari uniondoe katika vita. Nimeumizwa!”


Wakiwa wanakuona, ujibebeshe muzigo wako kwenye mabega na kuondoka wakati wa giza. Funika uso wako usiweze kuona unakwenda wapi. Ndivyo ninavyokufanya kuwa kitambulisho kwa Waisraeli.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite