Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 28:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Wakati ule, Samweli alikuwa amekwisha kufa, na Waisraeli wote walikuwa wamekwisha kumwombolezea na kumuzika katika muji wake Rama. Saulo alikuwa amewafukuza kutoka katika inchi wenye kutabiri na wachawi.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 28:3
12 Referans Kwoze  

Sasa, Samweli akakufa. Nao Waisraeli wote wakakusanyika kwa kumwomboleza. Wakamuzika kwenye nyumba yake kule Rama. Kisha Daudi akaenda zake kwenye jangwa za Parani.


Mwanaume au mwanamuke yeyote anayekuwa mulozi au muchawi, anapaswa kuuawa kwa kupigwa mawe. Damu yao itakuwa juu yao wenyewe.


Musiwaendee waaguzi wa mizimu wala wachawi kwa kuwaomba wawaaguzie. Mukifanya hivi, mutajichafua. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.


Anayezini na nyama hakika atauawa.


Yule mwanamuke akamwambia: “Wewe unajua kwa hakika kwamba mufalme Saulo amewaangamiza kabisa waaguzi na wachawi wote katika inchi ya Israeli. Sasa kwa nini unaniwekea mutego wa kuninasa na kuniua?”


Uasi ni sawa na zambi ya kuaguza, na kiburi ni sawa na uovu wa kuabudu sanamu. Kwa sababu umeikataa amri ya Yawe, naye amekukataa kuwa mufalme.”


Kisha, alikuwa akirudi Rama, maana kule ndiko kulikuwa kwake. Aliwaamulia Waisraeli haki zao kule, na kumujengea Yawe mazabahu kule.


Kama mutu yeyote anawaendea waaguzi wa mizimu na wachawi na hivyo kukosa uaminifu kwangu, nitamukasirikia mutu huyu na kumutenga na watu wake.


Usimwache mwanamuke muchawi aishi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite