Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 27:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Daudi hakumwacha mutu yeyote muzima akuwe mwanaume au mwanamuke kusudi aletwe Gati; alifikiri ndani ya moyo: “Wanaweza kueleza juu yetu na kusema: ‘Daudi alifanya kitendo hiki na kile.’ ” Hivyo ndivyo Daudi alivyozoea kutenda wakati wote alipoishi katika inchi ya Wafilistini.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 27:11
7 Referans Kwoze  

Kuogopa watu ni kujitega mwenyewe, lakini anayemutumainia Yawe yuko salama.


Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.


Naye Daudi akamwambia Abiatari: “Nilijua wazi siku ile nilipomwona Doegi Mwedomu, kwamba atamwambia Saulo. Kwa hiyo mimi nimesababisha vifo vya watu wa jamaa ya baba yako.


Akisi alipomwuliza: “Leo mashambulizi yako yalikuwa juu ya nani?” Daudi alimwambia: “Juu ya Negebu ya Yuda” au “Juu ya Negebu ya Wayerameli” au “Juu ya Negebu ya Wakeni”.


Kwa hiyo, Akisi alimusadiki Daudi, akifikiri: “Wanainchi wenzake Waisraeli hawamupendi kabisa. Kwa hiyo, atanitumikia maisha yake yote.”


Walikuwa wameteka wanawake na watu wote waliokuwa katika muji, wakubwa kama vile wadogo. Hao waliowateka, waliondoka nao wakiwa wazima, bila kumwua mutu yeyote.


Siku moja kisha kumwua Gedalia,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite