Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 26:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Halafu akaendelea kusema: “Lakini kwa nini, wewe bwana wangu unanifuatilia mimi mutumishi wako? Nimefanya nini? Ni uovu gani nimekufanyia?

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 26:18
12 Referans Kwoze  

Kisha, Daudi naye akasimama, akatoka ndani ya pango na kumwita Saulo: “Bwana wangu mufalme!” Mufalme Saulo alipoangalia nyuma, Daudi aliinama mpaka chini, kwa kumuheshimu Saulo.


Yesu akamujibu: “Kama nimesema vibaya, onyesha ubaya ule. Lakini kama nimesema vizuri, kwa nini unanipiga?”


Yesu akawaambia tena: “Nimewaonyesha matendo mengi mazuri kwa uwezo wa Baba. Ni kwa sababu ya tendo gani kati ya hayo munataka kunitupia mawe?”


Nani kati yenu anaweza kuhakikisha kwamba nimefanya zambi? Ikiwa ninasema ukweli, kwa sababu gani hamuniamini?


Ninaregea kwa ajili ya kulalamika, na koo langu limekauka. Macho yangu yamefifia, nikikungojea ewe Mungu wangu.


Maana walinitegea mitego bila sababu; walinichimbia shimo bila neno lolote.


Daudi akamujibu: “Sasa nimefanya nini? Siwezi kuuliza neno tu?”


Wakubwa wananitesa bila sababu, lakini mimi ninaheshimu maneno yako kwa moyo wote.


Halafu Yeremia akamwuliza mufalme Zedekia: Nimekukosea nini, au nimewakosea nini watumishi wako au watu hawa, hata unitie katika kifungo?


Daudi alikimbia kutoka Nayoti katika Rama, akaenda mpaka kwa Yonatani, akamwambia: “Nimefanya nini? Kosa langu ni gani? Nimemutendea baba yako zambi gani hata anajaribu kuyaangamiza maisha yangu?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite