Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 26:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Saulo alitambua sauti ya Daudi, akamwuliza: “Hiyo ni sauti yako mwana wangu Daudi?” Daudi akamujibu: “Bwana wangu mufalme, ni sauti yangu.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 26:17
4 Referans Kwoze  

Basi, Yawe akuwe mwamuzi kati yangu na wewe. Yeye aliangalie jambo hili, anitetee na kuniokoa katika mikono yako.”


Kwa maneno hayo, Daudi akawashawishi watu wake wasimuzuru Saulo; aliwakataza wasimushambulie. Kisha Saulo akasimama, akatoka ndani ya pango akaendelea na safari yake.


Baba yao akatambua hiyo kanzu, akasema: “Ndiyo ni kanzu ya mwana wangu! Bila shaka nyama wa pori amemushambulia na kumukula. Hakika Yosefu ameraruliwa vipandevipande.”


Daudi alipomaliza kusema, Saulo akasema: “Hiyo ni sauti yako mwana wangu Daudi?” Saulo akalia kwa sauti.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite