Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 24:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Saulo aliporudi kutoka kupigana na Wafilistini, alipata habari kwamba Daudi yuko kwenye mbuga za Engedi.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 24:2
9 Referans Kwoze  

Mara moja, Saulo alikwenda kwenye jangwa la Zifu kumutafuta Daudi akiwa na waaskari waliochaguliwa elfu tatu wa Israeli.


Wakubwa wao watakapopondwa juu ya mawe, ndipo watatambua kwamba maneno yangu yalikuwa mazuri.


Milima mirefu ni makao ya mbuzi wa pori; makimbilio ya sungura wa pori ni chini ya mawe.


Warafiki na wenzangu wanaepuka kuona mateso yangu, na wandugu zangu wanakaa mbali nami.


Mutu mwovu anamuvizia mutu wa haki, na kujaribu kumwua;


Saulo aliwachagua Waisraeli elfu tatu. Kati yao, elfu mbili alikuwa nao kule Mikimasi na katika inchi ya milima ya Beteli. Elfu moja aliwaweka kule Gibea katika eneo la Benjamina. Hao aliwaweka chini ya uongozi wa mwana wake Yonatani. Watu wengine wote waliobakia, aliwarudisha, kila mutu kwake.


Alisema: Yawe ni: kikingio changu, kimbilio langu, mukombozi wangu,


Unajua mbuzi wa milima anazaa wakati gani, au umekwisha kuona kulungu akizaa?


Kwa hiyo, Saulo akaacha kumufuatilia Daudi, akaenda kupigana na Wafilistini. Ndiyo maana pahali pale pakaitwa “Jiwe la Matengano.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite