Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 24:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Daudi aliondoka pahali pale, akaenda kuishi kwenye makimbilio ya muji wa Engedi.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 24:1
8 Referans Kwoze  

Wanamufurahisha mufalme, lakini ni waovu; wanawafurahisha wakubwa, lakini ni wanafiki.


Kwako kuna wanaowasingizia wengine kusudi wauawe. Wakaaji wako wanashiriki chakula kilichotolewa kwa miungu juu ya milima. Watu wako wanatenda uasherati.


Mutawala akisikiliza mambo ya uongo, wakubwa wake wote watakuwa waovu.


Uwaondoe waovu mbele ya mufalme, na utawala wake utaimarika katika haki.


Saulo alipokuwa angali kule Gibea, Wazifu wakamwendea na kumwambia: “Daudi anajificha katika inchi yetu kwenye makimbilio kule Horeshi, kwenye mulima Hakila, unaokuwa upande wa kusini wa jangwa.


Wavuvi watasimama kandokando ya bahari, na nafasi toka Engedi mpaka Eni-Eglaimu itakuwa ya kuanikia nyavu. Kutakuwa aina nyingi za samaki kama zinavyokuwa katika bahari ya Mediteranea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite