Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 23:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wakaaji wa Keila watanitia katika mikono ya Saulo? Saulo atakuja kweli kama nilivyosikia mimi mutumishi wako? Ee Yawe, Mungu wa Israeli, ninakuomba unijibu mimi mutumishi wako.” Yawe akamujibu: “Saulo atakuja.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 23:11
6 Referans Kwoze  

Uniite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichwa ambayo haujapata kuyajua.


Uniite wakati wa taabu, nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”


Kisha Daudi akaomba: “Ee Yawe, Mungu wa Israeli, kwa hakika mimi mutumishi wako, nimesikia kwamba Saulo anapanga kuja kuangamiza muji wa Keila kwa sababu yangu.


Daudi akamwuliza: “Wakaaji wa Keila watanitia katika mikono ya Saulo, mimi pamoja na watu wangu?” Yawe akamujibu: “Watakutia katika mikono yake.”


Yawe alinijulisha, nami nikaelewa; Yawe alinijulisha shauri lao baya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite