1 Samweli 23:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha Daudi aliambiwa: “Sikiliza, Wafilistini wanaushambulia muji wa Keila na kunyanganya ngano kwenye viwanja vya kupepetea.” Gade chapit la |
Mara moja chuma, udongo wa mufinyanzi, shaba, feza na zahabu, vyote vikavunjika vipandevipande na vikakuwa kama maganda kwenye nafasi ya kupepetea ngano wakati wa jua. Upepo ukavipeperushia mbali wala hakukubakia hata kipande kimoja. Lakini lile jiwe lililoivunja ile sanamu likageuka kuwa mulima mukubwa na kuijaza dunia yote.