Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 23:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha Daudi aliambiwa: “Sikiliza, Wafilistini wanaushambulia muji wa Keila na kunyanganya ngano kwenye viwanja vya kupepetea.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 23:1
9 Referans Kwoze  

Mutapanda mbegu, lakini hamutavuna. Mutakamua mafuta ya zeituni, lakini hamutatumia mafuta hayo. Mutakamua zabibu, lakini hamutakunywa divai hiyo.


Mataifa hayo yaliweka kambi katika inchi, yakawashambulia na kuharibu mazao yote ya inchi hata kwenye mupaka wa Gaza, hawakuwaachia Waisraeli chochote, ikuwe kondoo, ngombe au punda.


Watakula ngombe wenu na mazao yenu, mpaka muangamie. Hawatawaachia ngano, divai, mafuta, ngombe au kondoo mpaka wawaangamize.


“Taifa musilolijua litatwaa mazao yote ya inchi yenu na matunda ya jasho lenu, nanyi mutapondwa na kuteswa siku zote,


basi, mimi nitafanya hivi: Nitawapiga kwa kuwaletea hofu kubwa ya rafla, kifua kikubwa na homa itakayowapofusha macho na kuwakondesha. Mutapanda mbegu zenu bila mafanikio maana waadui zenu ndio watakaozikula.


Malaika wa Yawe akaenda, akaikaa chini ya muti wa mwalo wa Yoasi Mwabiezeri, kule Ofura. Gideoni mwana wa Yoasi alikuwa anapepeta ngano ndani ya kikamulio cha kukamulia zabibu kusudi Wamidiani wasimwone.


Mara moja chuma, udongo wa mufinyanzi, shaba, feza na zahabu, vyote vikavunjika vipandevipande na vikakuwa kama maganda kwenye nafasi ya kupepetea ngano wakati wa jua. Upepo ukavipeperushia mbali wala hakukubakia hata kipande kimoja. Lakini lile jiwe lililoivunja ile sanamu likageuka kuwa mulima mukubwa na kuijaza dunia yote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite