Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kisha nabii Gadi akamwambia Daudi: “Usikae hapa katika makimbilio. Ondoka mara moja uende katika inchi ya Yuda.” Basi, Daudi akaondoka, akaenda katika pori la Hereti.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 22:5
8 Referans Kwoze  

Mufalme Hezekia alifuata maagizo ambayo Yawe alikuwa amemupa mufalme Daudi kwa njia ya Gadi, nabii wa mufalme na nabii Natani. Hivyo basi, akaweka Walawi katika nyumba ya Yawe, wamoja wao wakiwa na matoazi, wengine vinanda na wengine vinubi. Hiyo ilikuwa amri ya Yawe kwa njia ya manabii wake.


Habari za mufalme Daudi toka mwanzo mpaka mwisho juu ya mambo ya utawala wake, uwezo wake, na mambo yaliyomupata yeye, Waisraeli, na falme zote katika inchi zimeandikwa katika vitabu vya nabii Samweli, katika vitabu vya nabii Natani, vilevile katika vitabu vya nabii Gadi.


Basi, Yawe akasema na Gadi, mutabiri wa Daudi, akamwambia:


Daudi alipoamuka kesho yake asubui, neno la Yawe lilimufikia nabii Gadi, mwonaji wa mufalme Daudi, kusema hivi:


Basi, Daudi aliwaacha wazazi wake wakae na mufalme wa Moabu; nao wakakaa kwake kwa muda wote ambao Daudi alikuwa katika nafasi za makimbilio.


Naye Daudi wakati ule alikuwa katika maficho, nalo kundi la Wafilistini lilikuwa katika muji Betelehemu.


Zaburi ya Daudi wakati alipokuwa katika jangwa la Yudea.


Naye Daudi wakati ule alikuwa katika maficho, nalo jeshi la Wafilistini lilikuwa katika muji wa Betelehemu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite