Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 22:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Abiatari alimwelezea Daudi kwamba Saulo amewaua makuhani wa Yawe.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 22:21
3 Referans Kwoze  

Lakini Abiatari, mumoja wa watoto wa kiume wa Ahimeleki mwana wa Ahitubu, aliponyoka akakimbilia kwa Daudi.


Naye Daudi akamwambia Abiatari: “Nilijua wazi siku ile nilipomwona Doegi Mwedomu, kwamba atamwambia Saulo. Kwa hiyo mimi nimesababisha vifo vya watu wa jamaa ya baba yako.


Mutu wako ambaye sitamwangamiza kutoka mazabahu yangu atakuwa ameponyoka kusudi nipofushe macho yake, naye atakufa moyo na wazao wake watauawa kifo kibaya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite