Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 22:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Daudi akaondoka kule, akakimbilia kwenye pango karibu na muji wa Adulamu. Kaka zake na wandugu zake wengine waliposikia kwamba alikuwa pale, wote walikwenda kuungana naye.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 22:1
13 Referans Kwoze  

Kisha mashujaa watatu kati ya wakubwa makumi tatu wakamwendea Daudi kwenye mulima wa pango la Adulamu. Wakati ule jeshi la Wafilistini lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu.


Dunia haikustahili kuwa na watu kama hawa! Walitangatanga katika jangwa na katika milima, wakiishi katika mapango na mashimo ndani ya udongo.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi alipojifanya mwenda-wazimu mbele ya mufalme Abimeleki naye akamufukuza na Daudi akajiendea.


mufalme wa Libuna, mufalme wa Adulamu,


Enyi wakaaji wa Maresa, Mungu atawaletea tena adui atakayewateka. Waongozi waheshimiwa wa Israeli watakimbilia ndani ya pango kule Adulamu.


Kweli, anakuja kutoka makao yake; atashuka na kutembea juu ya vilele vya dunia.


Wakati ule, Yuda akatengana na wandugu zake, akakwenda kukaa na mutu mumoja Mwadulami, jina lake Hira.


Saulo alipokuwa anasafiri, alifika kwenye pango moja lililokuwa karibu na zizi la kondoo, akaingia mule ndani ya pango kwa kujisaidia. Daudi na watu wake walikuwa wakiikaa ndani kabisa ya pango lile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite