Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 20:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Tena, kesho kutwa, watu watakukosa kabisa. Siku hiyo uende pahali ambapo ulijificha wakati jambo hili lilipokuwa lingali motomoto, ujifiche nyuma ya lundo la mawe.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 20:19
6 Referans Kwoze  

Kwa hiyo, akamwambia: “Baba yangu anakusudia kukuua. Hivyo, ufanye angalisho. Kesho asubui, ujifiche pahali pa siri, ukae pale.


Daudi akamwambia: “Kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, nami nilipaswa kuwa kwenye meza kwa kula pamoja na mufalme. Lakini uniache, niende kujificha kule katika shamba mpaka siku ya tatu magaribi.


Kisha akamwambia Daudi: “Kwa sababu kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, watu wataona wazi kwamba hauko, maana kiti chako kitakuwa wazi.


Mimi nitapiga mishale mitatu kandokando kama vile ninapima shabaha fulani.


Saulo alimwelezea mwana wake Yonatani na wakubwa wake juu ya mupango wake wa kumwua Daudi. Lakini Yonatani, mwana wa Saulo, alimupenda sana Daudi.


Kesho yake asubui, Yonatani alikwenda kule katika shamba kwa kukutana na Daudi kama walivyoagana. Alikwenda kule na kijana mumoja wa kiume.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite