Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 20:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Kisha akamwambia Daudi: “Kwa sababu kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, watu wataona wazi kwamba hauko, maana kiti chako kitakuwa wazi.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 20:18
3 Referans Kwoze  

Kama ilivyokuwa kawaida yake, mufalme aliikaa kwenye kiti chake kilichokuwa karibu na ukuta. Yonatani akaikaa mbele kuelekea mufalme na Abeneri akaikaa karibu na mufalme. Lakini nafasi ya Daudi ikakuwa wazi.


Daudi akamwambia: “Kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, nami nilipaswa kuwa kwenye meza kwa kula pamoja na mufalme. Lakini uniache, niende kujificha kule katika shamba mpaka siku ya tatu magaribi.


Tena, kesho kutwa, watu watakukosa kabisa. Siku hiyo uende pahali ambapo ulijificha wakati jambo hili lilipokuwa lingali motomoto, ujifiche nyuma ya lundo la mawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite