Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 20:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 tena usiache kuitendea jamaa yangu kwa uaminifu milele. Na Yawe atakapowateketeza waadui zako kutoka katika dunia,

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 20:15
7 Referans Kwoze  

Mufalme alimwacha Mefiboseti mwana wa Yonatani kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonatani mwana wa Saulo walikuwa wamefanya kati yao kwa jina la Yawe.


Sasa nimejua kwamba hakika utakuwa mufalme wa Israeli, na ufalme wa Israeli utaimarishwa chini yako.


Ikiwa nitaendelea kuishi basi, unionyeshe wema wa Yawe, kusudi nisikufe,


Kulingana na ahadi tulizowekeana, Yawe atakuwa mushuhuda kati yetu milele.”


Halafu Yonatani akamwambia Daudi: “Uende na amani. Tumekwisha wote kuapa kwa jina la Yawe kwamba Yawe akuwe mushuhuda kati yetu milele, na kati ya wazao wangu na wazao wako milele.”


Lakini tafazali usinisahau wakati mambo yatakapokuendea wewe vizuri. Unitendee mema na kusema juu yangu mbele ya mufalme, nipate kutoka humu katika kifungo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite