Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 20:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Ikiwa nitaendelea kuishi basi, unionyeshe wema wa Yawe, kusudi nisikufe,

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 20:14
8 Referans Kwoze  

Mufalme akamwuliza: “Hakuna hata mutu mumoja aliyebaki katika jamaa ya Saulo? Kama yuko, ningependa kumutendea wema wa Mungu.” Siba akamujibu: “Kuko mwana wa Yonatani. Yeye ni kilema.”


Lakini tafazali usinisahau wakati mambo yatakapokuendea wewe vizuri. Unitendee mema na kusema juu yangu mbele ya mufalme, nipate kutoka humu katika kifungo.


Yawe aniue ikiwa Saulo anakusudia kukuzuru nami nisipokujulisha kusudi uende pahali pa mbali ambapo utakuwa salama. Yawe akuwe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.


tena usiache kuitendea jamaa yangu kwa uaminifu milele. Na Yawe atakapowateketeza waadui zako kutoka katika dunia,


Kulingana na ahadi tulizowekeana, Yawe atakuwa mushuhuda kati yetu milele.”


Sasa nimejua kwamba hakika utakuwa mufalme wa Israeli, na ufalme wa Israeli utaimarishwa chini yako.


Siku moja, Daudi aliuliza: “Hakuna hata mutu mumoja aliyebakia katika jamaa ya Saulo? Kama yuko, ningependa kumutendea mema kwa ajili ya Yonatani.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite