Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 20:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Daudi akauliza: “Nitajua namna gani ikiwa baba yako atakujibu kwa ukali?”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 20:10
10 Referans Kwoze  

Masikini anaomba kwa unyenyekevu, lakini tajiri anajibu kwa ukali.


Mufalme akawajibu watu hao kwa ukali, akazarau shauri alilopewa na wazee,


Sasa ufikiri juu ya jambo hili na uamue la kufanya. Jambo hili linaweza kuleta hasara kwa bwana wetu na jamaa yake yote. Yeye ni mutu mubaya na hakuna anayeweza kusema naye.”


Kijana mumoja wa Nabali, akamwambia Abigaili, muke wa Nabali: “Daudi alituma wajumbe toka katika jangwa kuja kumusalimia bwana wetu. Lakini yeye aliwatukana.


Kisha Nabali akawajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani? Mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumishi wengi wanaowakimbia wabwana zao.


“Mukubwa wa inchi ile alisema nasi kwa ukali, na kutuona kwamba sisi ni wapelelezi katika inchi yake.


Yosefu alipoona kaka zake akawatambua, lakini akajifanya sawa vile hawafahamu, akasema nao kwa ukali. Akawauliza: “Mumetoka wapi ninyi?” Wakamujibu: “Tumetoka katika inchi ya Kanana, tumekuja kununua chakula.”


Yonatani akamujibu: “Wazo lile likuwe mbali nawe. Hakika, kama ningejua kwamba baba yangu amekusudia mabaya juu yako nisingekuficha.”


Yonatani akamujibu: “Kuja tuende ndani ya shamba!” Basi, wakaenda.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite