Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Yawe anawafanya wamoja wakuwe wamasikini, na wengine wakuwe watajiri. Anawashusha wamoja, na kuwainua wengine.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 2:7
17 Referans Kwoze  

Ukubwa hautoki mashariki au magaribi, wala hautoki katika jangwa au kwa milima.


Anainua juu wanaokuwa zaifu; wenye kuomboleza anawapa usalama.


akisema: Nilikuja uchi katika dunia, nitaondoka uchi katika dunia. Yawe amenipa, Yawe ametwaa. Jina la Yawe litukuzwe.


Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.


Kweli, siku ya Yawe wa majeshi inakuja juu ya wote wenye kiburi na majivuno, juu ya wote wanaojitukuza,


Majivu yamekuwa chakula changu, machozi yanachangana na kinywaji changu,


Halafu wote wawili wakaingia ndani ya chumba cha ndani na kule nabii akamutia Yehu mafuta juu ya kichwa na kumwambia: “Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Ninakupakaa mafuta ukuwe mufalme juu ya watu wangu Israeli.


Umwangalie kila mwenye kiburi na kumuporomosha, uwakanyage waovu pahali wanapokuwa.


Utajiri na heshima vinatoka kwako, vyote unavitawala. Uwezo na nguvu viko katika mukono wako, nawe unawatukuza wale unaowapenda, na kuwaimarisha wote.


Mufalme Hezekia akatajirika sana na kuheshimiwa. Alijitengenezea hazina za feza, za zahabu, za mawe ya bei kali za viungo, ngao na za aina zote za vyombo vya bei kubwa.


Vile vile alijiongezea miji kwa ajili yake mwenyewe, makundi mengi ya ngombe na kondoo kwa sababu Yawe alimupa mali nyingi.


Mungu mwenyewe ndiye mwamuzi; anamushusha mumoja na kumwinua mwingine.


Watajiri na wamasikini wana hali hii moja: Yawe ni Muumba wao wote.


Mimi Yawe nitakufanya wewe Edomu kuwa mudogo kuliko mataifa yote. Ulimwengu wote utakuzarau.


Halafu miti yote katika inchi itajua kwamba mimi Yawe ninaishusha miti mirefu na kuinua miti mifupi. Mimi ninakausha miti mibichi na kustawisha miti yenye kukauka. Ni mimi Yawe ninayesema hayo na nitayafanya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite