Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Pinde za wenye nguvu, zimevunjika. Lakini wazaifu wanaendelea kupata nguvu.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 2:4
16 Referans Kwoze  

Makao yake ni kule Salemu; nyumba yake ni kule Sayuni.


Lakini panga zao wenyewe zitawapenya mioyo, na pinde zao zitavunjwavunjwa.


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Mukuje muone matendo ya Yawe. Muone maajabu aliyofanya katika dunia.


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


Lakini akanijibu: “Neema yangu inakutoshelea, kwa maana uwezo wangu unatimizwa katika uzaifu.” Basi tafazali nijivunie sana uzaifu wangu kusudi nijazwe na uwezo wa Kristo.


Maana nguvu za waovu zitavunjwa, lakini Yawe atawaimarisha watu wa haki.


Hata kama mukiwashinda waaskari wote wa Wakaldea wanaopigana nanyi na kunabaki tu katika mahema yao wale walioumizwa, hao watasimama na kuuteketeza muji huu kwa moto.


Hakuna! Mutajikunja tu kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa katika vita. Hata hivyo, hasira yake haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Basi, mujiweke tayari: mukijifungia ukweli kama vile mukaba, mukivaa haki kama vile nguo ya chuma ya kukingia kifua,


Basi niseme nini tena? Maana wakati hauniruhusu kueleza habari juu ya Gideoni, Baraka, Samsoni, Yefuta, Daudi, Samweli na manabii.


Niliwaangamiza, wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.


Anakomesha vita popote katika dunia. Anavunjavunja pinde na mikuki, nayo magari ya vita anayateketeza.


Yeye anawapatia nguvu wanaokuwa zaifu, anawaongezea nguvu wale wanaoregea.


Kweli, mwangamizaji anashambulia Babeli; waaskari wake wametekwa, pinde zao zimevunjwavunjwa. Mimi Yawe ni Mungu mwenye kuazibu, hakika mimi nitalipiza kisasi kamili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite