Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 2:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Angalia siku zinakuja ambapo nitawaua vijana wote wanaume katika jamaa yako na katika ukoo wako, hata hakutakuwa mwanaume yeyote atakayeishi na kuwa muzee.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 2:31
11 Referans Kwoze  

Walawi walioniacha wakati ule Waisraeli walipojitenga nami kwa kufuata miungu yao, watabeba azabu yao.


Maana nguvu za waovu zitavunjwa, lakini Yawe atawaimarisha watu wa haki.


Umewaacha wajane waende mikono mitupu; umewaponda wayatima mikono yao.


Mufalme akamuweka Benaya mwana wa Yehoyada kuwa jemadari wa kundi la waaskari kwa pahali pa Yoabu, na Zadoki akakuwa kuhani pahali pa Abiatari.


Ahiya mwana wa Ahitubu ndugu yake na Ikabodi mwana wa Finehasi mujukuu wa Eli kuhani wa Yawe katika muji wa Shilo, alikuwa ndiye aliyevaa kizibao cha kuhani. Watu hawakujua kwamba Yonatani amekwisha ondoka.


Wafilistini waliwashambulia Waisraeli, na nyuma ya mapigano makali, Waisraeli walishindwa. Waisraeli elfu ine waliuawa kwenye uwanja wa vita.


Siku hiyo, nitatimiza yale yote niliyosema tangu mwanzo mpaka mwisho juu ya Eli na juu ya jamaa yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite