Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Alivua nguo aliyovaa na kumupa Daudi pamoja na silaha zake, hata upanga, upinde na mukaba wake.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:4
10 Referans Kwoze  

Halafu, mufalme akavua pete yake ya muhuri kwenye kidole chake na kumuvalisha Yosefu. Akamuvalisha na nguo za kitani safi na mukufu wa zahabu kwa shingo.


Lakini baba yake akawaambia watumishi wake: ‘Mulete mbio kanzu nzuri sana na kumuvalisha nayo. Mumuvalishe pete kwenye kidole chake na mumuvalishe viatu.


Nitafurahi sana kwa sababu ya Yawe, nafsi yangu itashangilia kwa sababu ya Mungu wangu. Maana amenivalisha nguo ya wokovu, amenifunika kanzu ya haki, kama bwana arusi anavyojipamba kwa shada la maua, kama bibi arusi anavyojipamba kwa ushanga wake.


Kwa maana Kristo alikuwa bila zambi, lakini Mungu alimubebesha muzigo wa zambi zetu, kusudi kwa njia yake tupate kuwa wenye haki mbele ya Mungu.


Saulo akamuvalisha Daudi nguo zake za kivita, akamuvalisha kofia yake ya shaba juu ya kichwa na koti lake la kifua.


Kokote Daudi alikotumwa na Saulo, Daudi alifanikiwa. Hivyo, Saulo akamufanya kuwa mukubwa wa waaskari wake. Jambo hilo liliwafurahisha watu wote hata watumishi wa Saulo.


Upinde wa Yonatani haukurudi nyuma hata kidogo, upanga wa Saulo haukurudi bure hata kidogo. Viliua wengi siku zote, Viliua mashujaa.


na mikaba katika viuno, vitambaa vikubwa juu ya vichwa; hizo zote zilifanana na wakubwa. Ni picha ya Wababeli, wakaaji wa inchi ya Kaldea.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite