Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Wale watumishi walimwelezea Saulo kama vile Daudi alivyosema.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:24
2 Referans Kwoze  

Basi, watumishi hao wa Saulo walimwambia Daudi maneno hayo kwa siri, naye akawaambia: “Munazani mufalme kuwa baba mukwe wangu ni jambo dogo? Mimi ni mutu masikini na wa hali ya chini.”


Saulo akawaambia: “Mumwambie Daudi hivi: ‘Kile ambacho mufalme anataka kama vile mali kwa binti yake ni magovi mia moja ya Wafilistini, kusudi ajilipize kisasi kwa waadui zake.’ ” Hivi ndivyo Saulo alivyopanga kusudi Daudi auawe na Wafilistini.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite