Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Halafu Saulo aliwaamuru watumishi wake akisema: “Museme na Daudi kwa siri na kumwambia: ‘Mufalme anapendezwa sana nawe, hata watumishi wake vilevile wote wanakupenda’. Hivyo, sasa ukubali kuwa mukwe wa mufalme.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:22
6 Referans Kwoze  

Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Mutawala akisikiliza mambo ya uongo, wakubwa wake wote watakuwa waovu.


Saulo alifikiri: “Ngoja nitamutoa Mikali kusudi akuwe mutego kwake. Na bila shaka Wafilistini watamwua.” Hivyo Saulo akamwambia Daudi kwa mara ya pili: “Sasa nitakuwa baba mukwe wako.”


Basi, watumishi hao wa Saulo walimwambia Daudi maneno hayo kwa siri, naye akawaambia: “Munazani mufalme kuwa baba mukwe wangu ni jambo dogo? Mimi ni mutu masikini na wa hali ya chini.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite