Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Saulo alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akakuwa anamwogopa.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:15
8 Referans Kwoze  

Lakini hekima inayotoka mbinguni, kwanza ni safi, tena ni yenye amani, upole na usikilivu, inajaa huruma na matendo mema. Haina upendeleo wala udanganyifu.


Kama mumoja kati yenu akikosa kuwa na hekima, aiombe kwa Mungu ambaye atamupatia. Kwa maana Mungu anawapa watu wote bila upendeleo na kwa moyo mwema.


Mukuwe na mwenendo wa hekima mbele ya watu wanaokuwa wa inje ya kanisa, mukitumia vema kila wakati munaoupata.


Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.


Saulo alikuwa anamwogopa Daudi kwa sababu Yawe alikuwa pamoja naye, lakini Yawe alikuwa amemwacha Saulo.


Daudi alifanikiwa katika kila kitu alichofanya, maana Yawe alikuwa pamoja naye.


Lakini watu wote wa Israeli na Yuda walimupenda Daudi, maana ndiye aliwaongoza vizuri katika vita na kuwarudisha na mafanikio.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite