Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Basi, alimutupia Daudi mukuki mara mbili maana alifikiri: “Nitamubanisha Daudi kwenye ukuta.” Lakini Daudi aliepa mara zote mbili.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:11
9 Referans Kwoze  

Lakini Saulo akamutupia Yonatani mikuki kusudi amwue. Naye Yonatani akatambua kwamba baba yake alikuwa amekusudia kumwua Daudi.


Silaha zote zilizotengenezwa kwa kukuzuru wewe hazitafaa kwa kitu chochote. Mutu akikushitaki, utamushinda. Hiyo ndiyo haki niliyowapangia watumishi wangu. Hizo ndizo haki nilizowahakikishia. –Ni ujumbe wa Yawe.


Wakajaribu tena kumufunga Yesu, lakini akawaponyoka.


Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.


Lakini yeye akapita katikati yao, na kujiendea.


Kasirani ni kali na hasira inaangamiza; lakini ni nani anayeweza kupingana na wivu?


walizimisha moto mukali, waliponyoka kuuawa kwa upanga. Walikuwa wazaifu, lakini wakapata nguvu; walikuwa shujaa katika vita na kushinda majeshi ya kigeni.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite