Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 18:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kesho yake, pepo muchafu kutoka kwa Mungu akamushambulia Saulo kwa rafla, akakuwa anapayukapayuka kama mwenda-wazimu katika nyumba yake. Daudi alikuwa anapiga kinubi kama alivyofanya siku zote. Saulo alikuwa na mukuki katika mukono wake.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 18:10
17 Referans Kwoze  

Kwa sababu hii Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu wapate kuamini mambo ya uongo.


Wakaendelea kupiga makelele na kufanya kama vile wenda-wazimu mpaka nyuma ya saa sita wakati wa kutoa sadaka. Lakini hakuna aliyewajibu wala kuwajali.


Halafu, pepo muchafu kutoka kwa Yawe akamushika Saulo alipokuwa akiikaa ndani ya nyumba yake, akishika mukuki katika mukono, wakati Daudi alikuwa akipiga kinubi.


Siku moja tulipokuwa tukienda kule kwenye nafasi ya kufanyia maombi, tukakutana na mujakazi mumoja. Yule mwanamuke alikuwa na pepo wa kuaguza ndani yake. Na kwa njia ya uaguzi ule aliwatajirisha wabwana wake.


Kila mara, yule roho mwovu kutoka kwa Mungu alipomufikia Saulo, Daudi alitwaa kinubi chake na kuanza kukipiga, na roho yule alimwacha Saulo, naye akajisikia vizuri na kupata utulivu.


Naye Hanania akasema hivi mbele ya watu wote: Yawe anasema hivi: Mbele ya miaka miwili, hivi ndivyo nitakavyovunja nira ambayo mufalme Nebukadneza anayoibebesha mataifa yote. Kisha nabii Yeremia akajiendea.


Hata wale manabii wengine wote wakatabiri vile vile, wakasema: “Kwenda uushambulie muji wa Ramoti-Gileadi, utashinda! Yawe atautia katika mikono yako.”


Basi, sasa bwana wangu mufalme, usikie maneno ya mutumishi wako. Ikiwa Yawe ndiye aliyekuchochea ukuje kunishambulia, basi, apokee sadaka ambayo itamusukuma kubadilisha mawazo yake. Lakini ikiwa ni watu, basi, Yawe awalaani watu hao maana wamenifukuza kutoka urizi ambao Yawe aliotupa wakisema: ‘Kwenda uitumikie miungu mingine.’


Tangu siku hiyo, Saulo akakuwa anamusikilia Daudi wivu.


Hivyo, Yonatani akamwita Daudi na kumwelezea mambo hayo yote. Yonatani akamupeleka Daudi kwa Saulo, na Daudi akamutumikia Saulo kama hapo zamani.


Delila akamwambia Samusoni: “Samusoni! Wafilistini wanakuja kukushambulia!” Samusoni akaamuka toka katika usingizi naye akifikiri kwamba atatoka na kujiokoa kama vile mbele. Kumbe hakujua kwamba Yawe alikuwa amemwacha.


Saulo alijaribu kumuchoma Daudi kwa mukuki ule. Lakini Daudi aliepa mukuki wa Saulo na mukuki ukapiga ukuta. Daudi akakimbia na kutoroka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite