Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 17:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mupini wa mukuki wake ulikuwa kama muti wa mufumaji wa nguo, na chuma cha mukuki huo, kilikuwa na uzito wa kilo saba. Ngao yake ilibebwa na mutu mwingine aliyemutangulia.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 17:7
5 Referans Kwoze  

Kulitokea tena mapigano na Wafilistini kule Gobu. Elihanani mwana wa Yare-Oregimu, wa muji wa Betelehemu, alimwua Goliati wa muji wa Gati, ambaye mupini wa mukuki wake ulikuwa kama muti wa mufumaji wa nguo.


Vilevile, akamwua Mumisri mumoja, urefu wake ulikuwa metre mbili na nusu, naye alikuwa akibeba mukuki mukubwa sana katika mukono wake, kama muti wa mufumaji wa nguo. Lakini Benaya akamushambulia akiwa na fimbo tu, akamunyanganya mukuki ule, na kumwua Mumisri yule kwa mukuki wake mwenyewe.


Yule Mufilistini, naye akaanza kumwendea Daudi, na yule aliyemubebea ngao yake akiwa mbele yake.


Kukatokea tena vita na Wafilistini. Naye Elihanani mwana wa Yairi akamwua Lami ndugu ya Goliati wa muji wa Gati ambaye mupini wa mukuki wake ulikuwa kama muti wa mufumaji wa nguo.


Isibi-Benobi, mutu mumoja wa wazao wa majitu ambaye mukuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa karibu kilo tatu na nusu na aliyekuwa amejifungia upanga mupya, alisema atamwua Daudi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite