6 Miguu yake vilevile ilikuwa na vikingio vya shaba na kwenye mabega yake alibeba mukuki wa shaba.
Lakini Daudi akamwambia Goliati: “Wewe unanifikia kwa upanga na mikuki. Lakini mimi ninakufikia kwa jina la Yawe wa majeshi, Mungu wa waaskari wa Israeli, ambaye wewe umemutukana.
Mufalme Solomono alitengeneza ngao kubwa mia mbili; kila moja ilipakwa kadiri ya kilo saba za zahabu iliyofuliwa.
Mufalme Solomono alitengeneza ngao kubwa mia mbili kwa zahabu iliyofuliwa; kila ngao kilo saba za zahabu.
Kwenye kichwa chake alivaa kofia ya shaba, na nguo ya shaba kwa kifua yenye uzito wa kilo makumi tano na saba.