Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 17:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Watu fulani ambao walimusikia Daudi alivyosema, walikwenda kumwambia Saulo. Naye Saulo akaagiza aitwe.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 17:31
3 Referans Kwoze  

Kuna mutu mwenye akili na maarifa ndani ya kazi? Yule atawatumikia wafalme; hatawatumikia watu wasiofaa.


Daudi akamugeukia mutu mwingine, akamwuliza neno lilelile; na kila mara alipouliza, alipata jibu lilelile.


Daudi akamwambia Saulo: “Mutu yeyote asitishike ndani ya moyo wake kutokana na Mufilistini huyu. Mimi mutumishi wako nitakwenda kupigana naye.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite