Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 17:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Daudi akamujibu: “Sasa nimefanya nini? Siwezi kuuliza neno tu?”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 17:29
6 Referans Kwoze  

Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


Mutu anayekuwa na Roho wa Mungu anahukumu mambo yote, lakini hakuna mutu anayeweza kumuhukumu.


Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.


Lakini Eliabu, kaka mukubwa wa Daudi alipomusikia Daudi akiongea na watu, alimukasirikia Daudi, akasema: “Kwa nini umekuja? Wale kondoo wachache umemwachia nani kule katika mbuga? Ninajua majivuno yako na uovu wa moyo wako. Umekuja tu kutazama vita.”


Daudi akamugeukia mutu mwingine, akamwuliza neno lilelile; na kila mara alipouliza, alipata jibu lilelile.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite