Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 17:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Makundi ya waaskari ya Waisraeli na ya Wafilistini walijipanga tayari kupigana vita, makundi yakiwa yanaangaliana uso kwa uso.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 17:21
4 Referans Kwoze  

Kesho yake, Daudi aliamuka asubui mapema, na akamwachia muchungaji mumoja kondoo. Alibeba chakula na kwenda kama vile alivyoagizwa na baba yake Yese. Alipofika kwenye kambi ya Waisraeli, aliwakuta wanajipanga kwenye sehemu yao ya vita na wanapiga kelele za vita.


Daudi alimupatia kile chakula mutu aliyechunga mizigo, akawakimbilia waaskari, akaenda kwa kaka zake na kuwasalimia.


Mutu yule aliitwa Elimeleki na muke wake aliitwa Naomi. Watoto wao wawili wanaume, mumoja aliitwa Malona na mwingine Kiliona. Mutu yule na jamaa yake walikuwa wa kabila la Efuraimu kule Betelehemu katika Yuda. Walikwenda katika inchi ya Moabu, wakakaa kule.


Wafilistini waliwashambulia Waisraeli, na nyuma ya mapigano makali, Waisraeli walishindwa. Waisraeli elfu ine waliuawa kwenye uwanja wa vita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite