Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 17:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Daudi alikuwa ndiye mudogo kati ya wote. Wale watoto watatu wakubwa walikuwa wamekwenda na Saulo.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 17:14
3 Referans Kwoze  

Halafu akamwambia: “Wana wako wote wako hapa?” Yese akajibu: “Hapana, kungali mudogo wa hawa wote, lakini amekwenda kuchunga kondoo.” Samweli akamwambia: “Utume mutu amulete. Sisi hatutaikaa chini, mpaka atakapokuja hapa.”


Yawe akamwambia: “Mataifa mawili yako ndani ya tumbo lako; makabila mawili yatakayozaliwa nawe, yatatengana. Moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, mukubwa atamutumikia mudogo.”


Ingawa Daudi mara kwa mara alikwenda kwa Saulo, alirudi kwenda Betelehemu kuchunga kondoo wa baba yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite