Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Alimukamata mateka mufalme Agagi wa Waamaleki akiwa angali muzima. Akawaua watu kwa makali ya upanga.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 15:8
15 Referans Kwoze  

Kisha siku tatu, Daudi na watu wake wakarudi Ziklagi. Waamaleki walikuwa wamekwisha kushambulia Negebu pamoja na muji wa Ziklagi na kuuteketeza kwa moto.


Nyuma ya mambo hayo, mufalme Ahasuero akamupandisha Hamani cheo, akakuwa waziri mukubwa. Hamani alikuwa mwana wa Hamedata wa uzao wa Agagi.


Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mufalme wao atakuwa mukubwa kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.


Waliobaki, walikimbilia katika muji wa Afeki. Kule, kuta za muji ziliwaangukia na kuwaua watu elfu makumi mbili na saba waliobakia. Beni-Hadadi vilevile alikimbia na kujificha katika chumba fulani cha ndani, katika muji.


Sasa, uende kushambulia na kuangamiza vitu vyote wanavyokuwa navyo. Usiwaache wazima, lakini uwaue wote: wanaume kwa wanawake, watoto wachanga na wenye kunyonya, ngombe, kondoo, ngamia na punda.’ ”


Vilevile aliiteketeza miji ile mingine yote kwa moto na kuwaua wafalme wao wote kama vile Musa, mutumishi wa Yawe, alivyomwamuru.


Waliuteka muji huo na mufalme wake pamoja na miji mingine yote iliyouzunguka na kuwaangamiza wote waliokuwa ndani yao bila kuacha hata mutu mumoja. Waliutendea muji huo kama walivyoutendea muji wa Hebroni na muji wa Libuna na wafalme wao.


Saulo akajibu: “Nimetii sauti ya Yawe. Nilikwenda kule Yawe alikonituma; nimemuleta Agagi mufalme wa Waamaleki, na nimewaangamiza kabisa Waamaleki.


ni kusema Aramu, Moabu, Amoni, Filistini, Amaleki. Aliteka vilevile vitu vya mufalme Hadadezeri mwana wa Rehobu mufalme wa Zoba.


Kule wakawaua Waamaleki waliobaki kisha kuponyoka nao wakaishi kule mpaka leo.


Mutu yeyote aliyetakaswa kwa Yawe asikombolewe. Sharti auawe.


Lakini mufalme wa muji wa Ai walimuteka akiwa muzima na kumupeleka kwa Yoshua.


Kisha aliwaua kwa makali ya upanga wakaaji wote wa Noba, muji wa makuhani, wanaume na wanawake, watoto wadogo na wenye kunyonya, ngombe, punda na kondoo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite