Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 15:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Basi, Samweli akarudi pamoja naye mpaka Gilgali na Saulo akamwabudu Yawe.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 15:31
4 Referans Kwoze  

Saulo akajibu: “Nimefanya zambi. Hata hivyo, uniheshimishe sasa mbele ya wazee wa watu wangu na Waisraeli. Uniruhusu nirudi pamoja nawe kusudi nimwabudu Yawe, Mungu wako.”


Kisha Samweli akasema: “Muniletee hapa Agagi mufalme wa Waamaleki.” Agagi akamwendea Samweli akiwa mwenye furaha maana alifikiri: “Uchungu wa kifo umepita.”


Samweli akamujibu: “Siwezi hata kidogo kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Yawe, naye amekukataa kuwa mufalme juu ya Israeli.”


Kisha, Daudi akasimama, akaoga, akajipakaa mafuta na kubadilisha nguo zake. Halafu akaenda katika nyumba ya Yawe na kuabudu. Kisha akarudi kwake, akaamuru wamuletee chakula, naye akakula.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite