Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 15:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Saulo akajibu: “Nimetii sauti ya Yawe. Nilikwenda kule Yawe alikonituma; nimemuleta Agagi mufalme wa Waamaleki, na nimewaangamiza kabisa Waamaleki.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 15:20
12 Referans Kwoze  

Samweli alipomufikia Saulo, Saulo akamwambia Samweli: “Yawe akubariki! Nimetimiza amri ya Yawe.”


Hawakufahamu namna Mungu anavyowahesabia watu haki na wakatafuta kusimamisha haki yao wenyewe. Wakakataa kufuata njia ya kuhesabiwa haki mbele ya Mungu.


Yule Mufarisayo akajitenga na mwenzake akiomba hivi: ‘Ee Mungu, ninakushukuru kwa sababu mimi si kama watu wote wengine wanaokuwa wanyanganyi, watenda maovu, wazinzi. Ninakushukuru vilevile kwa kuwa mimi si kama huyu mulipishaji wa kodi.


Lakini kwa kutaka kujipatia haki, yeye akamwuliza Yesu: “Mwenzangu ni nani?”


Yule kijana akamwambia: “Nimetii hizo amri zote. Ninakosewa na nini tena?”


Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?


Yobu, unaona jambo hili ni sawa? Unasema: “Mimi ni mwenye haki mbele ya Mungu.”


Basi, Yobu amesema: “Mimi Yobu sina kosa, Mungu ameniondolea haki yangu.


Wewe umesema hivi: “Mimi niko safi, wala sina kosa. Hakuna ubaya wowote katika moyo wangu.


Alimukamata mateka mufalme Agagi wa Waamaleki akiwa angali muzima. Akawaua watu kwa makali ya upanga.


Sasa, uende kushambulia na kuangamiza vitu vyote wanavyokuwa navyo. Usiwaache wazima, lakini uwaue wote: wanaume kwa wanawake, watoto wachanga na wenye kunyonya, ngombe, kondoo, ngamia na punda.’ ”


Maana, wewe haukuitii sauti ya Yawe, wala haukuitimiza kasirani yake juu ya Waamaleki. Ndiyo maana leo Yawe amekutendea mambo haya.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite