18 Yawe alipokutuma alikuambia: ‘Kwenda uwaangamize kabisa wale Waamaleki wenye zambi, upigane nao mpaka umewaua wote!’
Yawe ni kimbilio la watu wenye mwenendo sawa, lakini ataangamiza watenda maovu.
Hasara haipati watu waovu na maangamizi wale wanaotenda mabaya?
Wazao wako watarudi hapa katika kizazi cha ine, kwa sababu uovu wa Waamori haujakamilika bado.”
Watu wa Sodoma walikuwa waovu na watenda zambi wakubwa mbele ya Yawe.
Wanaotenda zambi wanapatwa na hasara, lakini wenye haki wanafanikiwa.
Hakika sisi Wayuda wa kizalikio hatuko watu wa mataifa mengine, hao wenye zambi.
Kisha wakarudi nyuma mpaka Enimisipati ni kusema Kadesi, wakapiga inchi yote ya Waamaleki, na kuwashinda Waamori waliokaa Hasasoni-Tamari.
Sasa, uende kushambulia na kuangamiza vitu vyote wanavyokuwa navyo. Usiwaache wazima, lakini uwaue wote: wanaume kwa wanawake, watoto wachanga na wenye kunyonya, ngombe, kondoo, ngamia na punda.’ ”