Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 14:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kama wakituambia tuwangojee mpaka wafike hapa tunapokuwa, basi, tutasimama hapa hapa wala hatutawaendea.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 14:9
5 Referans Kwoze  

Kule utasikia wanayosema, nawe utapata nguvu za kuweza kwenda kuwashambulia.” Basi, Gideoni akaenda pamoja na mutumishi wake Pura mpaka kwenye vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.


Yonatani akamwambia: “Tutavuka kuwaendea wale watu kusudi wapate kutuona.


Lakini wakisema sisi tuwaendee, basi tutawaendea maana hicho kitakuwa ni kitambulisho kwamba Yawe amewatia katika mikono yetu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite