Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 14:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Lakini wakisema sisi tuwaendee, basi tutawaendea maana hicho kitakuwa ni kitambulisho kwamba Yawe amewatia katika mikono yetu.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 14:10
8 Referans Kwoze  

Basi, binti nitakayemwambia atue mutungi wake wa maji anipatie maji nikunywe, naye akinipa mimi na kuwakunywesha ngamia wangu, akuwe ndiye uliyemuchagulia mutumishi wako Isaka. Jambo hilo litanionyesha kwamba umemutendea mema bwana wangu.”


Wakati mambo haya yatakapokutokea, chochote utakachoweza kufanya ukifanye, maana Mungu yuko pamoja nawe.


Kule utasikia wanayosema, nawe utapata nguvu za kuweza kwenda kuwashambulia.” Basi, Gideoni akaenda pamoja na mutumishi wake Pura mpaka kwenye vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.


Gideoni akamwambia Mungu: “Ikiwa utaikomboa Israeli kwa mukono wangu kama ulivyosema,


Kama wakituambia tuwangojee mpaka wafike hapa tunapokuwa, basi, tutasimama hapa hapa wala hatutawaendea.


Mungu akamwambia: “Hakika nitakuwa pamoja nawe. Utawatoa watu wa Israeli na kuja kuniabudu mimi Mungu juu ya mulima huu. Hicho kitakuwa kitambulisho kwamba ni mimi Mungu niliyekutuma wewe.”


Isaya akamujibu: “Hiki kitakuwa kitambulisho kwako kutoka kwa Yawe, kwamba Yawe atafanya kama alivyoahidi: Unataka kivuli kiende hatua kumi mbele au nyuma?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite