Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 13:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Saulo alimungojea Samweli kwa muda wa siku saba, kama vile Samweli alivyosema. Lakini Samweli hakukuja kule Gilgali na watu walianza kumwacha Saulo.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 13:8
2 Referans Kwoze  

Utanitangulia kwenda Gilgali, pahali ambapo nitakukuta na kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani. Utaningojea pale kwa muda wa siku saba mpaka nikuje na kukuonyesha la kufanya.”


Basi, Amasa akaenda kuwaita watu wa Yuda. Lakini akachelewa kurudi katika wakati ule aliopangiwa na mufalme.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite