Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 13:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Waisraeli walikuwa wanalipa feza sehemu mbili ya tatu za shekeli kwa kunoa majembe na sururu. Na bei ya kunoa shoka au kuchongoa chuma ilikuwa sehemu moja ya tatu ya shekeli.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 13:21
3 Referans Kwoze  

Kila Mwisraeli alilazimishwa kuwaendea Wafilistini kunoa majembe yake au sururu au shoka au kisu cha kuvuna.


Kwa hiyo, siku ya vita hakuna mutu kati ya wote waliokuwa pamoja na Saulo na Yonatani aliyekuwa na upanga au mukuki isipokuwa Saulo na mwana wake Yonatani.


Sehemu mbili za tatu za watu katika inchi zitaangamizwa; ni sehemu moja ya tatu tu itakayobaki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite