12 Halafu Waisraeli wakamwambia Samweli: “Wako wapi wale watu waliosema Saulo asikuwe mufalme juu yetu? Mutuletee watu hao, nasi tutawaua.”
Lakini watu wengine wasiofaa kitu, walisema: “Mutu huyu anaweza kutuokoa?” Walimuzarau Saulo na hawakumupa zawadi yoyote. Lakini yeye hakukasirika.
Na sasa kwa ngambo ya wale waadui zangu walionikataa mimi kuwa mufalme wao, muwalete hapa na kuwaua mbele yangu.’ ”
Mufalme anamutumainia Yawe; kwa wema wa Mungu Mukubwa atakuwa salama.