Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Saulo akajibu: “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini Saulo hakumwelezea kwamba Samweli alimwambia kwamba atakuwa mufalme.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 10:16
9 Referans Kwoze  

Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.


Walipofika mwisho wa muji, Samweli akamwambia Saulo: “Umwambie yule kijana atangulie mbele yetu.” Kijana alipokwisha ondoka, Samweli akaendelea kusema: “Ngoja kidogo, nami nitakufunulia yale Mungu aliyosema.”


Na juu ya wale punda waliopotea siku tatu zilizopita, musikuwe na wasiwasi juu yao; wamekwisha kupatikana. Lakini ni nani yule ambaye Waisraeli wanamutaka sana? Si wewe na jamaa yote ya baba yako?”


Basi, roho wa Yawe akamushika Samusoni kwa nguvu, akamurarua simba huyo kama mutu anavyorarua mwana-mbuzi. Naye Samusoni hakuwaambia wazazi wake jambo lile.


Musa akarudi kwa Yetro, baba mukwe wake, akamwambia: “Tafazali uniruhusu nirudie Misri kwa wandugu zangu, nione kama wangali wazima.” Yetro akamwambia: “Kwenda kwa amani.”


Yule baba mudogo wa Saulo akamwambia: “Tafazali, uniambie kile Samweli alichokuambia.”


Basi, akapakua asali kwa mikono yake, akaikula akiendelea na safari yake. Aliporudi kwa wazazi wake, akawapa asali kidogo nao wakakula. Lakini hakuwaambia kwamba alitosha asali hiyo ndani ya muzoga wa simba.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


wakati wa kupasua na wakati wa kushona, wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite